Mwanamuziki Wa Injili ambaye 
ameshirikiana na Wanamuziki wengine katika albam zao kama Vile Miriam 
Lukindo wa Mauki, Upendo Nkone, John Lisu, Amani Kapama na wengine wengi
 anayejulikana kwa jina la Bomby Johnson jioni ya siku ya leo amefanya 
Tamasha la Kusifu na Kuabudu lenye jina la “Worship In The Terbanacle” 
yaani “Ibada Katika Hema La Kukutania”. Katika Tamasha hilo lililoanza 
majira ya saa 9 na nusu alasiri lilimalizika majira ya saa 1:45 Usiku 
ambapo mpaka muda huo bado watu walikuwa katika Ukumbi wa VCCT.
Katika Ibada hiyo ya Kusifu na Kuabudu Mwanamuziki Bomby Johnson alisindikizwa na wanamuziki John Lisu, Meshack Kutoka VCCT, David Abel, Paul Clement, Rivers Of Joy International, pamoja na mpiga saxophone maarufu Mise Anael.
Katika Ibada hiyo ya Kusifu na Kuabudu Mwanamuziki Bomby Johnson alisindikizwa na wanamuziki John Lisu, Meshack Kutoka VCCT, David Abel, Paul Clement, Rivers Of Joy International, pamoja na mpiga saxophone maarufu Mise Anael.


 













No comments:
Post a Comment