Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe Grace Mujuma akiwa na Balozi
wa Zambia nchini Tanzania Mhe Judith Kapijimpanga wakifurahia wakati
ndege iliyomchukua Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan ilipotua katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa
Kenneth Kaunda jijini Lusaka, Zambia, jana Jumatatu Septemba 12, 2016
tayari kwa kumuwakilisha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
John Pombe Joseph Magufuli kwenye sherehe za kuapishwa rais wa sita wa
nchi hiyo Mhe. Edgar Lungu leo Jumanne Septemba 13, 2016 katika uwanja
wa Mashujaa jijini Lusaka
|
No comments:
Post a Comment