RFDF
![]() |
KKKT Askofu Dk Alex Malasusa akimuingiza kazini Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Godfrey Nkini wakati wa Ibada iliyofanyika Kanisa Kuu la Azania Front jijini Dar es Salaam |
![]() |
KKKT Askofu Dk Alex Malasusa akimpongeza Msaidizi wake aliyemaliza muda Mch. George Fupe wakati wa Ibada iliyofanyika Kanisa Kuu la Azania Front jijini Dar es Salaam |
![]() |
KKKT Askofu Dk Alex Malasusa akmkabidhi gari Msaidizi aliyemaliza muda wake Mch. George Fupe |
![]() |
Baadhi ya Wachungaji waliohudhuria Ibada ya kumuingza kazini Msaidizi wa Askofu Mch. Chedile Lwiza |
![]() |
waumni waliohudhuria sherehe za kuingizwa kazini Msaidizi wa Askofu Mch. Chedile Lwiza |
![]() |
Mstaafu wa KKKT Dk. Elinaza Sendoro akifuatilia Ibada |
![]() |
Naibu Waziri TAMISEMI Aggery Mwanri akiwasalimia waumni |
![]() |
Wachungaji wakipungia waumini wakati walipokuwa wakitambulishwa. |
![]() |
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) Nehemia Mchechu ambaye pia ni muumini wa KKKT akitoa salamu |
![]() |
Maaskofu Alex Malasusa mwenye fimbo na Dk Fredrick Shoo wakiwa katika picha ya pamoja na Msaidizi mpya wa Askofu wa DMP Mch Chedile Lwiza (Katikati) |
No comments:
Post a Comment