.

.

.

.

Monday

Tanzania Bloggers Network (TBN) Party ilivyofana, Matukio katika Picha Serena Hotel.


Mgeni Rasmi katika hafla maalum ya mwaka kwa Tanzania Bloggers Network,Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT),Ndg. Kajubi Mukajanga
Mwenyekeiti wa muda wa Tanzania Bloggers Network akizungumza jambo na mbele  ya Wamiliki wa Blogs Tanzania,waliokutana pamoja leo kwa lengo la kufahamina na kuunganisha vyema umoja wao.
Mkurugenzi wa Masoko kwa Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania ambao ndio walikuwa wadhamini wakuu,Kelvin Twissa akizungumza machache katika hafla hiyo. 

Mwakilishi kutoka US  Embassy akizungumza jambo na mbele  ya Wamiliki wa Blogs Tanzania,waliokutana pamoja leo kwa lengo la kufahamina na kuunganisha vyema umoja wao.














Picha ya pamoja kwa baadhi ya wanablog,wa kwanza kushoto ndio mmiliki na admin  wa blog hii http://gospelhabari.blogspot.com

Picha ya pamoja kwa bloggers waliohudhulia party hiyo pamoja na mgeni rasmi pamoja na wadhdmini wa party hiyo.
Nikiwa na mdimu mmoja wa blogger na mwandishi wa habari katika picha

Nikiwa na father kidevu mmoja wa blogger 

Nikiwa na blogger mkongwe na miongoni mwa viongozi wa Tanzania Bloggers Network (TBN) issamichuzi.blogspot.com
 Picha za Red Carpet 










Michuzi Media walikuwepo kufanya coverage ya tukio zima

No comments:

Post a Comment