Mama Salma Kikwete akiingia uwanjani pamoja na msafara wake. |
Maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam na vitongoji vyake walijitokeza kwenye tamasha hilo ambapo mgeni rasmi Rais Jakaya Kikwete aliwakilishwa na mkewe, Mama Salma Kikwete. Upekee wa tamasha hilo umetokana na uwepo wa idadi kubwa ya waimbaji, ambapo kutoka Tanzania, Kenya, Nigeria, na hata Afrika Kusini zimewakilishwa, bila kusahau Zambia.
Gospel Kitaa ambayo imekuwepo mwanzo mwisho inakuletea picha za tukio hili lenye kutia hamasa ya umoja wetu na kulinda amani iliyopo, kama ambavyo limehudumiwa na waimbaji kutoka pande mbalimbali za dunia.
MGENI RASMI
Apostle Onesmo Ndegi wa Living Water Center Kawe akisoma Risala kwa niaba ya Wachungaji,Maaskofu na watumishi wengine wa Mungu mbele ya mgeni rasmi |
Kinondoni Revival
Wakorintho Wa Pili Kutoka Iringa
St. Andrew Anglikana Msalato Dodoma.
AIC Chang'ombe Choir CVC
Beatrice na Martha Mwaipaja
Christopher Mwahangila
Joshua Mlelwa
Upendo Kilahiro
Upendo Nkone
WAIMBAJI WAKIIMBA WIMBO WA AMANI KWA PAMOJA
Sipho Makhabane (Big Fish)
Solly Mahlangu
Ifenye Kelech
Sarah K
Ephraim Sekeleti (Son of Tanzania)
John Lisu
Kwaya ya Uinjilisti - Kijitonyama KKKT
Rose Muhando
Ilipotimu mida ya saa nne usiku, Mwanamama Rose Muhando aliyeadimika masikioni na machoni mwa watu kwa mudamrefu sasa hatimaye akapanda kuhitimisha.
No comments:
Post a Comment